KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Sunday, May 20, 2012


FADHAGET SANITARIUM CLINIC CD KUPATIKA SASA-Dr. Fadhili Emily
Dokta Fadhili amesema sasa unaweza kupata mafundisho kuhusiana na huduma za tiba zinazotolewa na Sanitarium Clinic iliyoko Mbezi Beach Tangi Bovu, Tandika Majaribio-Dar es Salaam Tanzania

Amewaomba watu wote kununua CD hii ili uweze kujifunza ni jinsi gani unaweza ukatibiwa magonjwa sugu kwa njia ya mimea na matunda.

Kama ungependa kujua zaidi jinsi ya kupata hizi CD, tafadhali wasiliana nasi kwa mawasiliano yaliyopo katika CD hapo chini:-




CD case imetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 | rumatz2011@yahoo.com | www.rumaafrica.blogspot.com
UZINDUZI WA ALBUM YA "USILIE" YA THE VOICE OF HEALING CHOIR YA CHUO CHA MZUMBE-MOROGORO KUFANYIKA LEO 18 MEI 2012 CHUONI HAPO

Uzinduzi huo utaanza saa 8:00 usiku katika chuo cha Mzumbe kwa lengo la kuzindua albamu yao ya pili ya Usilie.

Mgeni rasmi atakuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Mh. Mtata ambaye ni mheshimiwa. mwenye umri mdogo sana, na inasemekana hata miaka 30 hajafikisha na siku mbili tatu zimepita tanguia ameteuliwa na raisi kuwa Mkuu wa Wilaya Kilombero. Na hii ndiyo kazi yake ya kwanza tangia aingie madarakani. "Chini ya Kapeti-Bado hajaoa" na kingine ni kwamba amesoma katika chuo hicho cha Mzumbe.

Wageni wengine watakaokuwepo ni Waziri wa Mambo ya Ndani Dk. Emmanuel Nchimbi, Mtangazaji wa ITV, Godwin Gondwe, Waandishi wa Habari , Afisa Tawala wa Wilaya, Mwambeni, Blogger wenu Rulea sanga na wengine wengi.

Kumbuka mshereheshaji wa shughuli hiyo ni Mchungaji Haris Kapiga na mtangazaji wa redio ya Clouds FM jijini Dar es Salaam

Vifaa vya muziki ni kutoka katika kikundi cha Glorious Celebratio kilichoko Dar es Salaam, chini ya Askofu Mwakanga'ta wa kanisa la The Victory Church.

Mpigaji picha na atakyerusha habari zote ni Blogger na Graphic Designer, Rulea Sanga ambaye ni meneja masoko wa Glorious Celebration

Kutakuwa na waimbaji mbalimbali kama Sarah ambaye ni mwanafunzi katika chuo cha biashara India, Glorious Celebration, Wanachuo cha Mzumbe na wengine wengi

GLORIOU CELEBRATION WAKIWA SAFARINI KUELEKEA MOROGORO KUWASINDIKIZA NDUGU ZAO KATIKA UZINDUZI.

Ngoja tuone safari nzima ya watumishi wa Mungu, Glorious Celebration
Blogger Rulea Sanga wa pili kutoka kulia nikijiongezea maarafa kwa kujisoma kitabu cha Nabii TB Joshua "The Mirror"
Blogger na Graphic Designer, Rulea Sanga nikiwa na GC maeneo ya Morogoro Stand
Mpoki wa Ze Commedy alitubamba Morogoro Stand
Blogger Rulea Sanga nikiwa kazini
Nice (kushoto) na Davina (kulia)
Glorious wakiangalia tangazo la tamasha Mzumbe
Angel Bernard (kushoto) na Mercy wakiwa ndani ya ukumbi
Emmanuel Mabisa (kushoto) na Sarah Shilla
Chaka akirekebisha mitambo (Technician wa Glorious Celebration)
Mwimbaji wa Glorious Celebration, Paul akijaribu MIC
Technician wa Glorious Celebration, Aron akihakikisha mitambo inaenda sawa

Wapigaji gitaa wa Glorious Celebration wakiihakikisha mambo yanaenda sawa

KABLA YA YOTE MISOSI ULIPEWA KIPAUMBELE SANA
 Graphic Designer na Blogger wenu, Rulea Sanga sikuwa mbali sana na kitu cha Mbeya
 Waimbaji wa Glorious Celebration (GC), Kulia na Immanuel Malisa
Waimbaji wa Glorious Celebration David (kushoto) na Paul
KAZI IKAANZA
---------------------------------------
THE VOICE OF HEALING CHOIR WAKIINGIA UKUMBINI
 The Voice of Healing Choir wakiingia ukumbini kwaajili ya uzindizi wa albamu yao ya Usilie Vol 2




Kwaya ya wanachuo-Mzumbe











 Mwimbaji wa nyimbo za injili anayesoma India, Sarah...hakukosa usiku huo

Mkuu wa Wilaya ya Kilombero ambaye alikuwa mgeni rasmi, Mh. Mtata akiipita risala iliyosomwa na mmoja wa waimbaji wa The Voice of Healing Choir

waziri wa mambo ya ndani, Nchimbi akisalimia na mmoja wa wachungaji katika kipindi cha kuizindua albamu hiyo na kuiombea

 Mshereheshaji Haris Kapiga akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Ndani, Dr Nchimbi kipaza
 Kulia ni mtangazaji wa ITV, Godwin Gondwe akimsikiliza mgeni rasmi

 Maombezi yakiendelea
 Wana kwaya ya The Voice of Healing wakiwa katika maombezi
 Wanachuo wakiwa katika maombi
Glorious Celebration wakioombea albamu ya Usilie


Baada ya maombezi wageni rasmi wakiwa wanaangalia uimbaji

Mkuu wa Chuo Cha Mzumbe


Kutoka kulia ni Davina, Nice, Mercy, Angel
Paul aki-lead
Mtalamu wa Drumkatika kikundi cha GC
Imma solo akisaka Solo



TANZANIA WORSHIP EXPERINCE WAKIWA WAPO RADIO KUHAMASISHA WATU KUJIANDIKISHA KATIKA SAKATA LA KUWATAFUTA WATU WENYE UWEZO WA KUIMBA NYIMBO ZA KUABUDU
Wakihojiwa na mtangazaji wa Wapo Radio Joyce, wamesema kwa neema ya Mungu wamejipanga vizuri katika kuhakikisha zoezi hili linafanyika kwa haki. Mchungaji Charles Mbogoma amehimiza watu kufika kwa wingi siku ya jumamosi tarehe 26 Mei 2012 katika hoteli ya The Atriums iliyoko Sinza Afrikasana Dar es Salaam.

Naye Blooger Rulea Sanga amesema anahakikisha matukio yote yatakayokuwa yanatokea yatarushwa katika mitandao mbalimbali na katika radios na TV. Amesema kwa sasa unaweza kutembelea katika blogu hizi www.rumaafrica.blogspot.com au www.tanzaniaworshipexperience.blogspot.com

Makalanga alisema unaweza kujaza form ambazo zipo katika ofisi ya Unversal Inc maeneo ya Posta au ingia katika blogu ya www.tanzaniaworshipexperience.blogspot.com

MNAKARIBISHWA WOTE HAKUNA KIINGILIO CHOCHOTE. HATA KAMA HUJUIKUIMBA UNAKARIBISHWA
 Mmoja wa judges, Emmanuel Mabisa
 Logistic na Katibu, Nasobile (kulia), akifuatia Mch. Mbogoma
 Mtangazaji wa Wapo Radio, Joyce
IT na blogger Rulea Sanga wa pili kutoka kushoto 
 Mchungaji Charles Mbogoma
 Mwenyekiti, Mkalanga

 Blogger na IT, Rulea Sanga
JAZA FOMU HII KUJIUNGA

TAFADHALI TUMA BARUA PEPE KWETU YENYE MAJIBU YA MASWALI YALIYOULIZWA HAPO CHINI:

NB: Soma kwa makini na ukishasoma nakili mahali fulani majibu yako na utume kwetu kwa kutumia barua pepe hizi hapa chini: Tafadhali tuma majibu yako kwa barua pepe (email) zote hapo chini. Unaweza kubofya katika email mmojawapo na ukaanza kujaza fomu yako. Angali mfano hapo chini ya maswali.

1. JINA LA KWANZA----------------------
2. JINALA LA UKOO---------------------
3. ANUANI YAKO------------------------
4. NAMBA YA SIMU--------------------
5. UMRI--------------------------------------
6. JINSIA YAKO-------------------------
7. TAREHE YA KUZALIWA: TAREHE-----MWEZI---MWAKA
8. KANISA LAKO-----------------------
9. JINA LA MCHUNGAJI WAKO-----------------------
10. ANUANI ZA MCHUNGAJI WAKO: 
      SIMU-----------BARUA PEPE--------------------
11. UMEOKOKA?: NDIYO:--------HAPANA:----------
12. LINI UMEBATIZWA?: 
      TAREHE-------MWEZI------MWAKA
13. LINI UMEJAZA ROHO MTAKATIFU?:
      TAREHE------------MWEZI----------MWAKA
14. UNAJUA MAANA YA KUABUDU: 
      NDIYO----------------HAPANA----------
15. MKOA UNAOTOKA-------WILAYA-----

Sasa tuma majibu yako kwa tumia barua pepe hizi:
MFANO WA KUJIBU:
Jina la kwanza: Rulea
Jina la ukoo: Sanga
Anwanuani: Box 120 Dar
Namba ya simu: 0715851523
Umri: 12
Jinsia: mwanaume
Tarehe ya kuzaliwa: 30 Juni 1990
Kanisa langu: Mlima wa Moto Mikocheni B
Mchungaji wangu: Dr Getrude Rwakatare
Anwani ya mchungaji wangu: Box 234 Dar, 
          Simu: 0715851523 Barua pepe: info@rwakatare.com
Ndiyo nimeokoka
Tarehe ya kubatizwa: 20 Juni 2011
Ndiyo nimejazwa : Tarehe 30 Septemba 2011
Tarehe ya kupokea: Roho Mtakatifu: Tarehe 30 Septemba 2011
Sijui maana ya Kuabudu lakini naweza kuimba kutokana na kuwa nina sauti nzuri na hisia kali

AHSANTENI

KIINGEREZA
First name...................................Second name................

Address........................cell number..........
Age......................
Sex.....................
Bon again..............yes........no........
Your church................
Your pastors contact................
When were you buptized................
When were you filled with the holly spirit.............
do you know the meaning of worship...............

John 4:24

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI