KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Monday, July 16, 2012

SASA WAWEZA KUPATA HUDUMA ZA MAPAMBO,CHAKULA,VYOMBO VYA MUZIKI KWA AJILI YA TAMASHA AMA SHEREHE YOYOTE KWA BEI NAFUU KUPITIA PAMOJA KWA UMOJA.

Pamoja kwa umoja yaja ili kuondoa adha ya uhitaji wa Mapambo,Chakula na Vyombo vya Muziki.

Keki 1@

Tazama ni jinsi gani harusi yako itakavyopendeza


Tazama rangi zinavyovutia za haya mapambo i wish utumie kwenye harusi yako


Jamani imependeza hii bado natamani iwe ni rangi zako kwenye harusi yako.



Tazama jinsi unavyoweza pendezesha harusi yako kwa 
Red carpet na rangi nzuri ya Zambarau.
Unaona ukumbi unavyovutia
Unaona jinsi wakwe zako watakapo kaa!!
Tazama jinsi gani kila mmoja atakavyopendeza kwa rangi hii.
Umeonaaa!!!
Hakika bila shaka kwa wewe unayependa vitu vizuri umepata jibu nini cha kufanya katika harusi yako.Usiwaze sana utafanya nini ili kupata vitu vizuri kama hivi katika harusi yako piga namba;; 
 0715 408566. KUMBUKA HUDUMA HII UTAIPATA CHINI YA 
ERICK BRIGHTON TOKA PRAISE POWER REDIO.
Rafiki bado nakuombea,Mungu akubariki.
pAmOjA KwA UmOjA




EMMANUEL MGAYA AL MAARUFU KAMA MASANJA MKANDAMIZAJI(MCHUNGAJI MTARAJIWA)

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA NDANI YA KIWANJA CHA SONGEA.
IRINGA YATEKWA KWA MASAA NA MASANJA MKANDAMIZAJI NA BONGO MOVIE YOTE KATIKA UZINDUZI WA ALBAMU YAKE YA HAKUNA JIPYA.

Mchungaji mtarajiwa Masanja Mkandamizaji akiwasalimu wakazi wa Iringa na vitongoji vyake kama inavyoonekana hapa,huku bila akitia vionjo vya kabila la kingoni na kihehe.

 

Masanja Makadamizaji kama anavyoonekana katika katika picha;Gwaride linaoneka lina sura ya Enoce Lazaro kushoto na katikati yuko Silas Mbise pia kulia yuko unknown.



Masanja Mkandamizaji na kundi lake akionyesha namna gani gwaride linakuwa

Diwani wa kata ya kitanzini naye hakuwa mbali kutia chochote ili kazi ya bwana iende mbele huku nyuma kukiwa na wasanii wa Bongo Movie wakiongozwa na kiongozi wao Steven Jacob al maarufu JB.


Kiongozi wa Bongo Movie Steven Jacob(JB) anachukua DVD ya Albamu ya Hakuna Jipya.

Hapa Mgeni Rasmi akiongea baada ya kuzindua waliokaa ni baadhi ya wabunge wa viti maalum na mkuu wa mkoa wa Iringa.

Zoezi la kuinadi Albamu ya Hakuna Jipya ikiendelea.

Naibu Waziri wa Elimu Milubo akizindua DVD na VCD

Baadhi ya viongozi wa Elimu wakiwa na mgeni Rasmi

Timu nzima ya wakali wa Bongo Movie wakionyesha uwepo wao katika tamasha hili la uzinduzi wa albamu ya HAKUNA JIPYA.

JB wa Bongo Movie akiwa ameshika kipaza sauti pamoja na waigizaji wenzake



Jacquline Waolper akiwa na furaha kuona tamasha linaenda vizuri

Vicent Kigosi (Ray) akisalimia wakazi wa Iringa

Steve Nyerere akitambulisha wakazi wa Iringa kikundi cha Bongo Movie

Mwanzo mwisho ilikuwa comedi hapa mchungaji mtarajiwa Emmanuel Mgaya akisoma risala.




Watu mbalimbali wakifuatilia kwa karibu uzinduzi wa tamasha hili.






Martha Baraka akimsindikiza na wimbo JINA LA YESU NI DAWA,mwimbaji toka DAR ES SALAAM.





Mwimbaji wa nyimbo za injili Martha Mwaipaja.




Watu waliohudhuria tamasha hilo uwanja wa Samora mjini Iringa wakati wa tamasha la uzinduzi.


Umati mkubwa ulijitokeza katika kiwanja hiki.



Tazama namna gani watu wa Iringa wakimsapoti mchungaji mtarajiwa.




.
Kwa kweli ilikuwa si mchezo kwa kweli maana Mungu alitukuzwa kwa kiwango cha tofauti.
mpaka hapa,pamojakwaumoja2012.blogspot.com haina la ziada nikutakie kila lakheri wewe ambaye umetembelea blog hii.

Rafiki bado nakuombea kwa Mungu.
pamoja kwa umoja.

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI