KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Monday, July 23, 2012

YANGA!! YANGA!! YANGA!!!! LEO NDANI YA UWANJA WA TAIFA

HAKIKA LEO NDANI YA NATION STADIUM ILIKUWA NI VUTA NIKUVUTE BAINA YA YANGA AFRICA NA MAFUNZO TOKA ZANZIBAR



Huyu ni shabiki na muuzaji wa jezi akipiga kazi huku akitabiri ushindi kwenda jangwani kama navyoonekana



Shabiki wa Dar es salaam Yanga Afrika George Mpella akionyesha ishara ya ushindi  huku akiwa ameshika jezi yake.



Shabiki mwingine huyu naye alikuja na kali ya Mwaka kwa kuja na mfano wa kombe la Kagame ambalo mpaka sasa liko mikononi mwa Yanga



Hili ndiklo kombe lenyewe alilokuja nalo Shabiki wa Dar es salaam Yanga Afrika


Wachezaji wa Yanga wakifurahia goli lao la kusawazisha,goli lilofungwa na mchezaji Said Banuhuzi


Huyu ndiye mfungaji wa bao hilo Said Banuhuzi akiwa amevua jezi na kuinyanyua juu


Timu ya Mafunzo Zanzibar ikitoka baada ya Mechi kuisha na wakipiga makofi ya kuwashukuru mashabiki walikuwepo uwanjani.
Timu yaYanga nayo ikitoka nje baada ya mchezo kuisha ikiongozwa hapo na Athumani Iddy.

Pamoja sana kwa umoja hii ni Ishara toka kwa Mafunzo Zanzibar

Shabaki wa yanga baada ya Mechi
Shabiki aliyekuja na kombe akifurahia matokeo ya Yanga Afrika ya kuelekea robo fainali


Huzuni ilitanda gafla baada mchezaji wa Mafunzo Zanzibar kuanguka na kuzimia baada ya kuruka juu akiokoa mpira


Hapa ndiyo safari ya kumkimbiza hospitali mchezajio huyu aliyeanguka na kuzimia





Mpaka dakika ya mwisho matokeo ya mchezo ilikuwa ni 1-1 na ikabid penati zipigwe na matokeo yakawa ni Yanga 5-Mafunzo Zanzibar 4 baada ya mchezaji mmoja kukosa penati.Hakika mchezo ulikuwa mzuri sana japo Yanga haikuwa sawa kama ilivyocheza katika michezo ya awali,pia Mafunzo ilikuwa iko sawa kama ambavyo imeonekana katiak michezo ya awali pia ilikuwa imeukamia sana mchezo huu.Yote kwa yote Yanga imeenda robo afainali na itakutana na APR toka Rwanda.Mungu ibariki Tanzania.
Rafiki bado nakuombea Mungu akubariki
Pamoja Kwa Umoja.

WIZI NOUMA!!!!!! WIZI NOMA!!! NDIVYO ILIVYOKUWA INASIKIKA ENEO LA TUKIO

 SAFARI YA MSAFIRI!!!! TAZAMA NI JINSI GANI SHETANI ANAVYOANGAMIZA VIJANA

Wakati mwingine unaweza usiamini kama ni kweli lakini ndiyo ukweli halisi juu ya hili.Majambazi mawili yamekamatwa na kujikuta yakiambulia kichapo toka kwa wanachi wenye hasira kali na waliochoshwa na ujambazi,majambazi mawili yamekimbi kusikojulikana na kutoweka na pesa kiasi kisichojulikana


Mwenyezi Mungu tusaidie tujue kusudi la sisi kuwepo hapa Duniani hata kama tunapitia mapito ya aina gani.


Dah! Kichapo si mchezo ndiyo maneno yaliyokuwa yanasikika katika eneo la tukio.Dah! kifo!!!

TAMAA + UTAJIRI + GUDTIME =KIFO
TANZANIA TANZANIA!! VIJANA VIJANA!!!
TUFANYENI KAZI.
Leo majira ya asubuhi maeneo ya Ubungo river Side   Chonya Bar majambazi manne yalivamia na majambazi mawili kufanikiwa kutoweka kusiko julikana na wawili kuangukia nguvuni na kujikuta hivyo walivyo kama picha inavyonyesha hapo juu.Jeshi la polisi kituo cha Urafiki ndiyo limefanikiwa kukamatwa kwa hawa majambazi, kama unavyoona katika picha.Haya yote yanasababishwa na tamaa kupenda maisha bora bila kufuata kanuni za maisha bora ,Jamani watanzania wenzangu Shetani yuko kazini so usipokuwa makini yatakukuta kama haya.Mungu akubariki wewe utakaye jifunza kupitia fulsa hii.
Rafiki bado ninakuombea Mungu akubariki
Pamoja Kwa Umoja.








MABINGWA WATETEZI LEO KUINGIA UWANJANI KULITETEA KOMBE LAO.

YANGA AFRIKA KUINNGIA UWANJANI LEO HAPO BAADAE KIDOGO MNAMO MAJIRA SAA 9;30 MCHANA/JIONI KUKIPIGA MAFUNZO YA ZANZIBAR
DAR ES SALAAM YANGA AFRICA KUKIPIGA KATIKA KIWANJA HIKI (NATION STADIUM)
Kikosi kamili cha wakali wa Jagwani Dar es salam Yanga Africa
Yanga Africa wakishangilia ushindi baada ya kumchapa APR bao 2-0

Yanga leo asubuhi baada yakumaliza mazoezi mapesi kwa ajili ya mechi hapo baadae katika kiwanja cha taifa 9:30 mchana/Jioni
Rafiki yangu bado nakuombea Mungu akubariki
Pamoja Kwa Umoja

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI