KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Wednesday, July 25, 2012

HABARI TOKA MAGAZETINI

YASEMAVYO MAGAZETI  YA TZ 
GAZETI MWANANCHI





GAZETI NIPASHE



GAZETI HABARI LEO



MUNGU IBARIK TANZANIA NA WATU NWAKE

Rafiki nbado ninakuombea Mungu akubariki
Pamoja lwa Umoja

KITUO CHA PRAISE POWER REDIO KINAPENDA KUKUKARIBISHA;


KITUO CHA PRAISE POWER REDIO KINAPENDA KUKUKARISHA WEWE MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI NA YULE ULIYE NA MAPENZI MEMA NA WATU WOTE SIKU YA KESHO SAA TANO ASUBUHI PRAISE POWER REDIO,HII NI KUTOKANA NA MWIMBAJI MMOJA WA KUNDI LA THE VOICE OBED JOHN MARK UPATWA AJALI MBAYA YA AJALI 
Obed John Mark kama  anavyoonekana wa kwanza kushoto akiwaongoza wenzake katika Recordin' live katika ukumbi wa Makumbusho ya taifa tarehe 30/6/2012

Mungu wabariki vijana hawa uliwaita katika kukutumikia wewe siku zote za maisha yao
Obed John Mark kama anavyoonekana tena hapa yuko upande wa kushoto mwenye nywele ndefu akiwaongoza wadogo zake katika Tamasha lililofanyika Juzi jumapili tarehe 22/72012 katika ukumbi wa D. Jubilee
Mwimbaji wa nyimbo za Injili Bahati Bukuku katika picha
 Mtangazaji Milard Ayo pamoja na mwimbaji wa Injili

Rose Mhando na Madaam Ritha wakiteta jambo
Ndugu rafiki ni wakati wa kuonyesha una upendo kwa mwimbaji huyu Obed John Mark kwa kuja kushirikiana katika kumchangia chochote kile roho wa Mungu atakacho kuongoza kuja kumchangia,Kesho majira ya saa Tano asubuhi mahali ni Praise power Redio unakaribishwa wewe mwenye mapenzi mema,wewe mwimbaji pamoja na wewe unayependa kushiriki baraka za bwana,lia na wanao lia.OBED JOHN alipatwa na ajali mnamo majira ya usiku Sinza akielekea Magomeni gafla akiwa ndani ya bajaj gari likuja kwa nyuma yao likawagonga na kudondokea mtaroni na kuumia vibaya sana ikiwa ni pamoja na uti wa mgongo na maeneo ya usoni na mwili mzima kuwa na maumivu makali,baada ya ajali hiyo dereva wa gari hilo alitoweka kusikojulikana na Obed kubaki hapo bila msaada wowote,Baada ya taarifa kuwafikia wenzake The Voice walimkimbiza mpaka Hospitali kwa matibabu zaidi.Hali yake inaendela vizuri,ila anahitaji msaada wako kama rafiki wa kuweza kulipia matibabu na gharama ndogo ndogo amabzo zinamkabiri
BY:
ERICK BRIGHTON
Rafiki bado ninakuombea Mungu akubariki
Pamoja kwa Umoja



SIMBA !! SIMBA!!! HAYA NDIYO MANENO YALIYOKUWA YANASIKIKA KWA MASHABIKI

TUJIKUMBUSHE ILIVYOKUWA KATIKA MECHI YA SIMBA SC  NA  AZAM FC AMBAYO ILIMALIZIKA KWA MATOKEO YA AZAM FC3 - SIMBA SC 1.

Shabiki wa Simba akiwa haamini kilicho tokea hapa uwanjani na pengine akihisi kama vile anaota kumbe sivyo
Hawa ndiyo walio chezesha mchezo huu wa Simba na Azam wakiwa na ulinzi wakutosha.
Dah!! Hata siamini kama kweli haya ndiyo matokeo kweli yaliyotokea hapa ama tunaota.Hawa ni wachezaji wa Simba wakiwa wameinamisha vichwa chini wote isipokuwa Juma Kaseja Tanzania One.
Wachezaji wa Simba waliokuwa bechi 

Wachezaji wa Azam Fc wakiwa na furaha ya ushindi wa bao 3-1 baada ya mchezo kumalizika

Wachezaji wa timu ya Azam Fc walikuwa bechi baada ya mchezo wakiwa wenye sura za furaha
Mashabika wa msimbazi Simba wakishangilia baada ya kufunga goli moja la kufutia machozi.

Familia ikitoka na majonzi bila kuamini kilichotokea uwanjani

Hali ikuwa mbaya kwa mchezaji wa Azam Fc kuumia mguu baada ya kugongana na mchezaji wa Simba sc na hapa akisaidiwa kutoka nje baada ya mchezo
Vivyo hivyo ilikuwa kwa upande wa Simba Sc kwa mchezaji kugongana na mchezaji wa Azam Fc na kama anavyoonekana nae akisaidiwa kutoka nje

Kazi ya madakitari wa timu ya Azam wakimsaidia mchezaji kutoka nje baada ya mchezo kumalizika

 Kazi ilihamia kwangu na Bro Double G(Godwin Gondwe)wa ITV kama unavyoona tulikuwa na kazi ya kuipunguza pressure ya marafiki zetu Boniface Magupa wa Channel Ten na John Kisaka wa Praise Power Radio
Kama inavyoonekana katika picha basi la Azam Fc likitoka uwanjani kwa furaha na bwembwe huku magari ya polisi yakiweka ulinzi

Na hapa ndiyo uwanja wa taifa ambako ndiko pambano hili limefanyika.
Rafiki bado ninakuombea Mungu akubariki
Pamoja Kwa Umoja

KUTOKA MAGAZETINI(YASEMAVYO MAGAZETI)

YASEMAVYO MAGAZETI
GAZETI MWANANCHI


 MAGAZETINI

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI