WATU WAJITOKEZA KWA WINGI KATIKA USAHILI WA KUWEZA KUPATA WENYE VIPAJI KATIKA KAMPUNI YA GOSPEL HOUSE OF TALENT TANZANIA.
Kama picha inavyoonekana mshiriki akionyesha namba ya ushiriki wake
Zoezi bado linaendelea na huyu nae alikuwepo
Namba 80 kama anavyoonekana hapo katika picha
Namba 115 kama anavyoonekana nae alikuwepo
87 Nae alikuwepo kubahatisha kipaji chake
Kijana huyu nae alikuwepo na namba yake ya usahili ilikuwa 110 kama ambavyo anaonekana
Hawa ni baadhi ya waliojitokeza kubahatisha nafasi za kuonyesha vipaji vyao kama ambvyo wanaonekana katika picha
Rafiki bado ninakuombea Mungu akubariki
Pamoja Kwa Pamoja
No comments:
Post a Comment