KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Thursday, August 23, 2012

MIEZI MIWILI YA MGUSO WA UPAKO BAADA YA UKIMYA MWINGI


MWIMBAJI BAHATI BUKUKU UFANYA KWELI KATIKA HEMA LA BWANA MLIMA WA MOTO
Bahati Bukuku katika madhabahu akimwimbia bwana
Bahati Bukuku
Bahati Bukuku
Waumini wa Mlima wa moto wakiongozwa na mchungaji Dr Getrude Rwakatare wakiendele kubalikiwa na nyimbo ya Bahati Bukuku "Dunia haina huruma"
 
Watu wakibarikiwa na wimbo Dunia haina huruma ya Bahati Bukuku

Baraka zikiendele kama picha ionyeshavyo




Nguvu ya Mungu ikifanya kazi madhabahuni
 
Bahati Bukuku anasema anataka kutengeneza na Mungu wewe Je??? unatengeneza lini?
 
Hakika kumbe ukimya wa muda mrefu ulikuwa na kishindo maana nyimbo hizi mpya za dada Bahati Bukuku zimeonekana kuwa bariki watu wengi,kama ilivyokuwa hata katika albamu zake za mwanzo.Barikiwa dada Bahati Bukuku Mungu awe nawe wakati wote umwitapo,barikiwa sana mdau wa injili na mpenda uimbaji  wakati wote MUNGU akutane na haja zako kila umwitapo.AMEN
Rafiki bado nakuombea Mungu akubariki
PAMOJA kwa UMOJA
 

No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI