KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Tuesday, August 7, 2012

MAMA HUYU APONA UKIMWI LIVEEEEEE!!!!!

MIUJIZA NA MAAJABU INAENDELEA KUTOKEA KILA ITWAPO LEO.MAMA MMOJA APONA UKIMWI NA SASA AMUA KUMWIMBIA MUNGU SIFA
Mama huyu ndiye aliyepona virus na ukimwi

Tumbo hili lilikuwa limevimba lakini sasa tumbo yuko safi na amepona
Mama akiendelea sana kunipa stori jinsi alivyotendewa miujiza na Mungu.

Tazama kiganja chake ambavyo kimepona na hakina magamba pia hakuna madonda

Bado naendelea kupewa ushuhuda jinsi Mungu alivyofanya mabadiliko juu ya hali yake na sasa mama ni mwimbaji
Ndugu yangu haijalishi unapitia katika hali gani au tatizo gani kubwa la kimaisha au uchumi,bado kwa Mungu inawezekana,kupona kutajirika au kuvuka hali hiyo,hivyo nakutia moyo mtafute Mungu maadam anapatikana pia jifunze kuomba sana hasa unaposikia mikesha na mifungo itakusaidia kwa maana wote waliofanikiwa waliamua kumlilia Mungu kwa kufunga na kuomba.Jaribu leo utashinda.YEREMIA 32:27
Rafiki yangu bado ninakuombea Mungu akubariki
PAMOJA kwa UMOJA

No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI