KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Tuesday, September 10, 2013

ILE AUDIO CD YA ATOSHA KISSAVA "ALBAMU YA KILA MTU ANASEMA UMWEMA" SASA IKO MADUKA KUPITIA MSAMBAZAJI MAMU

AUDIO CD YA KILA MTU ANASEMA UMWEMA YA MWIMBAJI ATOSHA KISSAVA SASA IKO MADUKANI

Atosha kissava ndani ya PAMOJA KWA UMOJA ofisini ikiitambulisha ALBAMU hii.

 Atosha Kissava katika pozi tofauti

Atosha Kissava akiteta jambo nami
 Atosaha Kissava akitabasamu baada ya kuulizwa na mmoja ya mwana familia mwenzake
Atosha akichart na mmoja wa wasamabazaji wa mziki huu wa injili
 Huu ndiyo mwonekano wa kava la CD hii kwa Mbele
Hii ndiyo CD halisi ya albamu ya kila mtu anasema umwema

ALBAMU hii ina nyimbo kumi nazo ni
1.Kila mtu anasema umwema
2.Heri wamtumainiao bwana
3.Msamaha.
4.Amenihurumia
5.Tumwinamie
6.Moyo wangu
7.Wakuabudiwa
8.Wakati
9.Waniinua
10.Yesu wangu

Wapendwa katika bwana albamu hii sio ya kukosa na kama bado hujafanikiwa kuisikia sikiliza Praise power redio 99.3fm.Kwa mawasiliano zaidi piga;
0719 926175










     Mungu ibariki Tanzania

No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI