KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Saturday, September 14, 2013

KUNA WAKATI HUWA NATAMANI SANA WAKATI HUU UJIRUDIE TENA



HAKIKA KILA JAMBO NA WAKATI WAKE,KUNA WATU KWANGU NATAMANI TENA SANA NIWAONE  WAKIWA KATIKA MAJIRA/ WAKATI AU MATUKIO KAMA HAYA HAYA

Kama kuna unayemfahamu hapa katika hii post naomba uandike jina lake na useme ni picha ya ngapi.
Ni ukweli nawamis sana pia nayatamani tena matukio,majira kama haya yajirudie maana tunaishi kwa neema ya bwana na yawezekana wengine hawapo tena leo,pia ni vyema kukumbukiana maana Mungu anamakusudi makubwa juu ya haya yote katika maisha yetu.
JAMANI NIMEWAMIS SANA NA BADO NATAMANI NIWAONE TENA KWENYE MAZINGIRA KAMA HAYA AU YENYE KUFANANA NA HAYA


Mungu awabariki sana nawapenda

No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI