JE WAIJUA NAFASI YAKO KANISA LA MUNGU KATIKA AJALI HII MBAYA ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA ??
Sema neno mbele za Mungu
Omba sana bila kukoma kanisa la Mungu MAANA SHETANI YUKO KAZINI kuharibu kusudi la Mungu pia kumbuka tunaishi kwa neema tu!!!!
Mungu ibariki Tanzania na watu wake
No comments:
Post a Comment