KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Tuesday, April 29, 2014

MUNGU KWANZA RED CARPET KUFANYIKA KESHO NDANI YA URAFIKI HALL


counter
HATIMAYE RED CARPET IMEKARIBIA NI MASAA TU YAMEBAKI !!!
Kundi la Mungu Kwanza kesho linatarajia kujitambulisha rasmi kwa wadau wa mziki wa injili Tanzania katika ukumbi wa Urafiki Social Hall uliopo Legho-Sinza
Tamasha hili linatarajiwa kuanza mida ya 5:00asubuhi na kuendelea 
Waimbaji wengi kuhudhuria tamasha hili ikiwa m ni pamoja na waimbaji chipukizi kutoka lebal{kampuni} ya pamoja kwa umoja waimbaji hao ni:
Emmanuel Peter
Joshua Steven
Joshua Silomba
Leah Amos
Daniel Mwaipungu
 na wengine wengi.
Jitahidi usikose



 JOSHUA SILOMBA
 DANIEL MWAIPUNGU
 LEAH AMOS
EMMANUEL PETER(SMART BOY)
PAMOJA KWA UMOJA DAIMA!!
counters

No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI