KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Monday, July 30, 2012

GARI LATUMBUKIA BAHARI

SIKU YA LEO MAJIRA YA ASUBUHI GARI LATUMBUKIA BAHARINI LIKIWAHI KUINGIA KWENYE BOTI(FELI)PANTONI
Dereva wa gali hilo aliruka na kutoweka kusikojulikana ila bahati nzuri wavuvi walishirikiana na kufanikiwa kuliopoa gari hilo
Ferry likiwa limebeba abiria kuelekea kigamboni

Angalia jinsi ambavyo ferry linavyobeba abiria na mizigo,pia angalia jinsi gani hatari hasa vyombo kama magari amabvyo yanaweza zama.

Tazama jinsi amabvyo gari limezama baharini.

Tazama abiria ambavyo huwahi kushuka katika pantoni kabla halijasimama

Tazama hapa jinsi ambavyo meli au boat ilivyozama bahari Hindi,Swali langu kwa wahusika wa usafirishaji baharini kwamba matukio haya yana maanisha nini au nini kinasababisha haya yote kutokea.Samahani ninaanza kuamini ipo siku pantoni litazama japo naiuwa hakuna anyependa kusikia maneno haya.ipo siku na si mbali

Rafiki bado ninakuombea Mungu akubariki
Pamoja kwa Umoja


No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI