SIKU YA LEO MAJIRA YA ASUBUHI GARI LATUMBUKIA BAHARINI LIKIWAHI KUINGIA KWENYE BOTI(FELI)PANTONI
Dereva wa gali hilo aliruka na kutoweka kusikojulikana ila bahati nzuri wavuvi walishirikiana na kufanikiwa kuliopoa gari hilo
Ferry likiwa limebeba abiria kuelekea kigamboni
Angalia jinsi ambavyo ferry linavyobeba abiria na mizigo,pia angalia jinsi gani hatari hasa vyombo kama magari amabvyo yanaweza zama.
Tazama jinsi amabvyo gari limezama baharini.
Tazama abiria ambavyo huwahi kushuka katika pantoni kabla halijasimama
Tazama hapa jinsi ambavyo meli au boat ilivyozama bahari Hindi,Swali langu kwa wahusika wa usafirishaji baharini kwamba matukio haya yana maanisha nini au nini kinasababisha haya yote kutokea.Samahani ninaanza kuamini ipo siku pantoni litazama japo naiuwa hakuna anyependa kusikia maneno haya.ipo siku na si mbali
Rafiki bado ninakuombea Mungu akubariki
Pamoja kwa Umoja
No comments:
Post a Comment