KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Thursday, July 12, 2012

HAWA NDIO WALIOPITA USAHILI WA KWANZA WA EBENEZA TV-WAFIKE SIKU YA J/TANO {Tarehe 18/7/2012} SAA 3 :00 ASUBUHI PRAISE POWER FM.

Siku ya Tarehe 7/7/2012 katika viwanja vya Kenton kulikuwa na Usahili wa Watangazaji,Graphics,Editors,Camer Men,na Producers wa EBENEZA TELEVISION.Usahili huo ulikuwa na watu 600 walio hudhuria Usahili huo uliokuwa unalenga kipaji cha mtu.
Kupitia Majaji waliofanya kazi kubwa iliyochukua masaa 12 mpaka kuwamaliza watu wote.Napenda kuchukua muda huu kutaja majina ya waliopita katika kinyang'anyiro hicho.
PRESENTERS./WATANGAZAJI
1}Elizabethe Dominique
2}Exaud Mtei

3}Merinda Charles

4}Rose Ngonyani

5}Goodluck Francis

6}Victor Meena

7}Stephen Mapunda

8}Peter William

9}Isaiah Msangi

10}Waziri Yakub

11}Margareth Komba

12}Godwin Mawanja

13}Peter Abdallah

14}Imani Lisu

15}Innocent Lyimo

16}Deborah Nyakisinga

17}Annette Nyoni

18}Elizabeth Kafunzi

19}Esther John

20}Mary Nyakunga

21}Emmanuel Mathius

22}Ibrahim Kuhoga

23}Michael Mathius

24}Mary Singu

25}Ashura Rashid

26}David Siyinza

27}Neema Kamigisha

28}Carlos Ngonyani

29}Grace Isaac

30}Asnath Mkiramwani
GRAPHICS/EDITORS/CAMERA MEN.
1}Taragwa Anthony

2}Mafuru Mayuki

3}Haika Msuya

4}Elinisaidie Kessy

5}Anaodria Kagirwa

6}Bakari Kabaka

7}Anthony Msihili

8}Emanoel Samson

9}Francis Kavishe

10}Jerda Emmanuel

11}Thadei Ngowi

12}Yorum Bulegeye

13}Moses Mwakibolwa

14}Haji Hamza

15}Irene Msengwa

PRODUCERS.
1}Mohamed Mvumbangu

2}Esther Sellah

3}Michael Mathius

4}Stanslaus Thobias
5}Arthur Kilakwe
Kama jina lako liko hapo katika majina uyaonayo fika Ofisi za Praise Power Fm zilizoko Mikocheni B Kanisani kwa Mama Rwakatare siku ya J/Tano ya Tarehe 18/7/2012 Saa Tatu kamili asubuhi
Rafiki yangu bado nakuombea Mungu akubariki
Pamoja kwa umoja.

No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI