KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Wednesday, September 5, 2012

KESI INAYOMKABILI ASKOFU STANLEY HOTAY

MAHAKAMA KUU KANDA YA ARUSHA IMEITUPILIA MBALI KESI DHIDI YA ASKOFU STANLEY HOTAY
 
Askofu Stanley Hotay wa kanisa la Anglikana dayosisi ya mount Kilimanjaro
Hapa Askofu Stanley Hotay akiwa nchini Uingereza na The worldwide Family
Mahakama kuu kanda ya Arusha imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na waumini watatu wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Mount Kilimanjaro(MDK)ya kumpinga Askofu Stanley Hotay kuwa askofu wao.
 
Katika  hukumu hiyo jana,Jaji Fatuma Massengi alikubaliana na pingamizi zilizowasilihwa mahakamani hapo na mawakili wa utetezi kuwa  mahakana haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo kwa sababu kanisa lina katiba yake na walipaswa kupeleka ngazi ya kanisa kabla ya kukimbilia mahakamani.
 
Chanzo ni gazeti Habari leo.
 
Rafiki bado nakuombea Mungu akubariki
PAMOJA kwa UMOJA

No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI