AJALI MBAYA ILIVYOTOKEA MAENEO YA TULA MKOANI TABORA NA KUSABABISHA MAJERAHA KWA MUIMBAJI WA MUNGU
Huyu ndiye Sifa John ambaye amepata ajali na kupata majeraha kichwani na sehemu nyingine za mwili wake,ajali hii ilitokea maeneo ya Tula mkoani Tabora akielekea kwenye huduma ya uimbaji
Picha hii Sifa John akihudumu katika tamasha la uzinduzi Albam mti wenye matunda ya mwimbaji mama mchungaji Deborah Said wa jijini Dar es salaam.
Sifa John (kushoto) akishuhudia uzinduzi wa albamu mti wenye matunda ya Deborah Said(kulia)
Waweza sikiliza mahojiano kati sifa John na pamojakwaumoja njinsi ambavyo safari yao toka Dar kuelekea Tabora ilivyokuwa mpaka ajali inawapata katika eneo hilo la Tula mkoani Tabora.
Wapendwa popote mlipo tuzidi kuwaombea kwa Mungu awape uzima na afya wote walio patwa na ajali hii.Zaburi 23;4
Rafiki bado nakuombea Mungu akubariki
PAMOJA kwa UMOJA
No comments:
Post a Comment