KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Wednesday, September 5, 2012

AJALI MBAYA YAMPATA MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI

AJALI MBAYA ILIVYOTOKEA MAENEO YA TULA MKOANI TABORA NA KUSABABISHA MAJERAHA KWA MUIMBAJI WA MUNGU
 SIFA JOHN,WATU WENGINE WAPOTEZA MAISHA.
Imetokea leo hii.

 
Huyu ndiye Sifa John ambaye amepata ajali na kupata majeraha kichwani na sehemu nyingine za mwili wake,ajali hii ilitokea maeneo ya Tula mkoani Tabora akielekea kwenye huduma ya uimbaji
 
 
Picha hii Sifa John akihudumu katika tamasha la uzinduzi Albam mti wenye matunda ya mwimbaji mama mchungaji Deborah Said wa jijini Dar es salaam.
Sifa John (kushoto) akishuhudia uzinduzi wa albamu mti wenye matunda ya Deborah Said(kulia)
 
Waweza sikiliza mahojiano kati sifa John na pamojakwaumoja njinsi ambavyo safari yao toka Dar kuelekea Tabora ilivyokuwa mpaka ajali inawapata katika eneo hilo la Tula mkoani Tabora.
Wapendwa popote mlipo tuzidi kuwaombea kwa Mungu awape uzima na afya wote walio patwa na ajali hii.Zaburi 23;4

Rafiki bado nakuombea Mungu akubariki
PAMOJA kwa UMOJA
 
 

No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI