KARIBU

KARIBU UPATE HABARI MBALIMBALI KUPITIA BLOG HII;;pamojakwaumoja2012.blogspot.com.
AU PIGA simu 0715408566 kwa Ushauri na maoni

KAULI MBIU/SLGN


HOPES

Friday, September 27, 2013

JOHN LISU BAADA YA KUFANYIWA MAHOJIANO LEO ASUBUHI NA WATANGAZAJI WA PPAISE POWER REDIO



widget
JOHN LISU BAADA YA MAHOJIANO KATIKA KIPINDI CHA RISE &a SHINE LEO ASUBUHI
JOHN LISU
 John Lisu akiwa na mtangazaji Hadson Kamoga

John Lisu katikati,kulia ni mtangazaji Frida Ituwe kushoto ni Hadson Kamoga
Hadson akijaribu kupiga gitaa wimbo wa Jehova yuhai wa John Lisu 
 John Lisu na Hadson Kamoga katika picha ya kwaheri baada ya mahojiano juu ya Tamasha kubwa la recordin live itakayofanyika katika ukumbi wa CCC Upanda jirani kabisa na chuo cha Mzumbe.
Mahojiano haya yamefanyika kupitia redio ya kikristo Praise Power inayopatikana katika masafa ya 99.3fm jijini Dar es salaam.
TAMASHA HILI SI LA KUKOSA KABISA MAANA MUNGU ATAONEKANA LIVE BILA CHENGA

 
Mungu wabariki watu wote katika jina la Yesu


No comments:

Post a Comment

ABEDDY NGOSSO/SARA K

FANUEL SEDEKIA NA UPENDO WA YESU-MUNGU AKUBARIKI